Uncategorized

meza ya bwana

MEZA YA BWANA, NA KUTAWADHANA MIGUU. Bwana ni mwema, nimatumaini yetu Mungu amewalinda na kuwaongoza mpaka kufikia hii leo jina lake litukuzwe. karibuni katika sabato ya tarehe 02 /04/ 2022 ambayo wageni pamoja na washiriki tutakula meza ya bwana kwa pamoja. Pia nichukue muda huu tuweze kujifunza kuhusu meza ya bwana kwa mapana zaidi kama …

meza ya bwana Read More »

Juma la maombi

Maranatha watu wa Mungu. Karibuni katika sabato ya tarehe 02 / 04 / 2022 ambayo ni sabato ya kuanza juma la maombi. Washiriki wote tunawakumbusha kuwa katika sabato hii tutaanza juma letu la maombi. Tunawakaribisha sana wageni popote ulimwenguni ili Bwana atubariki pamoja, kwa wageni walioko Dar es Salaam tutafurahi mkijumuika nasi katika kanisa letu …

Juma la maombi Read More »