MAHUBIRI YAJAYO
UNGANA NASI UKAWE SEHEMU YA JAMBO LETU KUBWA
TAZAMA NA SIKILIZA MAHUBIRI YETU
"Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana." "Na pasipo imani haiwezekani kumpendeza; kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao." "Mtumaini Bwana kwa moyo wako wote, wala usizitegemee akili zako mwenyewe.
Unaweza kujiunga nasi na kubarikiwa kila siku:-
Saturday: 9:00 am Shule ya sabato, 11 am Ibada kuu.
Wednesday: 5:30 pm Huduma ya maombi.
Friday 6:30 pm Friday Kufungua sabato.
Mchungaji anayofuraha kukukaribisha katika kanisa la waadvetist wasabato mwenge

Elitabu Kajiru
Mchungaji
Wazee Kanisa la waadventista wa sabato mwenge wanakukaribisha kujumuika pamoja

Dr. Sabato Nyanda
mzee wa kanisa
Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa jina langu, naye atakuwa mwanangu, nami nitakuwa baba yake. Karibu tumjengee.

Daniel Nkonya
Idara ya majengo